MACHINGA KUCHANGIA WAATHIRIKA HANANG

MACHINGA KUCHANGIA WAATHIRIKA HANANG

Size
Price:

Read more

NA HADIA KHAMIS, BOSS TV

MWENYEKITI wa Wafanyabiashara  Machinga Mkoa wa Dar Es Salaam Namoto  Yussuf Namoto amesema watachangishana kama wafanyabiashara machinga na kiasi kitakachopatikana watakiwakilisha katika kamati ya maafa.

Namoto amewaambia waandishi wa habari kwamba Hanang ni sehemu ya Tanzania ambayo wateja wengi huja Dar es Salaam  kununnua bidhaa mbalimbalii hivyo wanakila sababu ya kuwachangia.

"Jukumu letu ni kuwqchangia ndugu zetu sisi kama maxhibga tutaxhangishama kwa hiyari yetu kwa watakaoguswa ili nasi tuwe sehemu ya kusaidia  upatikanaji wa viti muhimu katika.mahitaji ya waathirika wa maafa ya Hanang" amesema.

0 Reviews

Contact form

Name

Email *

Message *